Recent content by dopamine-B

  1. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Kwa wale wnye kukaa mtandaon kubishana, kutukana na kueneza hate... SIUZI DAWA, WALA SI RECOMMEND HOSPITAL YEYOTE, na usije inbox kama unaulizia dawa. Kama ni issues zaid ya hapo I don't give a damn. Kwa wale walionitabiria kifo miez sita iliopita, ...wakachnje mbuzi au ng'ombe kabisa waenjoy...
  2. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Mim zilkua ukisha kojoa mwishon utaona kama maziwa meupe baada ya miez kama nne ivi kwenywe matibabu Zikawa zinatoka nzito
  3. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Cost kubwa ni vipimo, maana at first nilikuwa natibiwa kama ugonjwa sugu WA zinaa, so ili wataalam waconfirm Kua ni ugonjwa sugu wanahitaji vipimo vingi Sana Ku rule out ugonjwa WA zinaa ambao ni sugu.. So; nilipima; Blood sugar 3times normal Urinalysis 10times normal Uroflowmetry once normal...
  4. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Mwanamke Hana prostate, isipokua kama bacteria wataspread kwenywe mfumo wake WA uzazi atapata PID ambayo nayo treatment zake zinachukua muda.. Na Kwa some Urologists Specialist wanasema tatizo ni reinfection na sio usugu WA ugonjwa. Uyu dem yeye alipona baada ya just single Ceftriaxone...
  5. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Kamuone Urologists Specialist usipoteze muda mrefu. That's all I can say, mim nimepona now baada ya matibabu with right antibiotics for 6 months
  6. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Narudia watu WA this country ni very Rudy and stupid. Wao wanachojua ni ukiumwa inabid unywe dawa then after 3 days uwe umepona... Ikitokea hujapona basi wataanza kuamini ushirikina na msemo huu niliokutana nao kitaa "zinaa sugu" ambayo watakwambia haitiibiki. Chakushangaza Zaid hata baadhi ya...
  7. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Nimepona kabisa baada ya six months on treatment.
  8. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Kwa maisha ukikutana na mfcz kama hawa wako so filled with anger issues hata Kwa watu wasiowajua... It's very funny... Nimepona now, it's six months now baada ya matibabu kuisha nimepona.. keep spreading your negative attitudes to others yo pu55y ni55er
  9. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    First line Fluoroquinolones Second line Tetracyclines Third line Macrolides Mim nimetumia 1st na 2nd line Hali iko poa, kama Hali ikiwa mbaya utapewa 3rd line Ila dawa izo Fluoroquinolones zinazngua Sana after 3 months dosage.
  10. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Kwa asilimia kubwa nimepona, Ila kuna maumivu Fulani ivi yanakuepo tofauti na mara ya Kwanza, ni kama unakidnda afu unakitonesha kind of maumivu, Pia hii chronic prostatitis huathir phycology so sometimes unakuta unajihis huko Sawa Iakin ukipima unakuta hamna kitu. But kila muda unavoenda Nazid...
  11. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Ni kweli, Ila treatment nilifanya makosa mwanzo Kwa kuto kuwaona urology specialist mapema, so awa ma GP wao Wana treat clinical picture. Ndio maana unaona dawa kila Aina apo. But for Chronic Bacterial Prostatitis ambayo ndio currently diagnosed kwangu ni very tricky treatment zake. Dawa ni...
  12. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    5th week on antibiotics treatment naona kuna improvement kubwa japo kuna siku unaweza kuwa vibaya... Dawa sahihi zipo Kwa kila ugonjwa shida MTU unaumwa unapewa dawa ambazo sizo zinapelekea bacteria kuwa sugu, janga nalo hili. Ushauri; Kwa mwanaume kama utaona unakunywa antibiotics za kila...
  13. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Thanks Dr Kwa Ushauri wako, nahisi pale agakhan walisema ni prostatitis kutokana kwamba antibiotics nilizopewa zilkua sahihi kabisa Kwa gono, na ilitakiwa niwe nimepona, Ila kutokana na kwamba wadudu wengine waliingia kwenywe prostate dawa nilizopewa hazipenyi kirahis na hivyo ndio ikawa...
  14. dopamine-B

    Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

    Thanks Sana, wataalamu WA urology WA pale agakhan ocean road... Dr Mawalla, na Dr Zahr wako vizur Sana... Kesi yangu wameniambia ishakwisha Nile Sana, maji mengi nimalize na Dozi afu niludi tena hospital
Back
Top Bottom