Recent content by Dopaflex

  1. D

    Vyeti vya Elimu ngazi ya chuo Vitofautishwe Sababu za Kurudia Mwaka na Kuahirisha Masomo, Itasaidia kujua yupi ni kilaza au alipitia ugumu wa kimaisha

    Nabet, huyu atakuwa anatokea kwenye lile kabila.😆😆 Utofauti uko hapa: Kama hukuwahi pata supplementary, carry, sijui repeat, retake, reboot, na vitu kama hivyo, Cheti chako kinaandikwa "graduate with honor" vinginevyo kinaandikwa jina la program yako kama kawaida. Kama Mkuu kwenye Cheti chako...
  2. D

    Wanafunzi wa kizazi hiki wanafaulu sana. Je, ni bora kuliko nyie?

    Sidhani kama kufeli kwa form six wa zamani na kufaulu wachache sana ni sifa njema. Kuna factors nyingi zilizopelekea wengi kufeli kipindi hicho. Mimi nitataja chache hapa: 1. Ukosefu wa materials za kutosha (Chand zenyewe ulikuwa unakuta ipo Moja darasa zima, waalimu wa tuition wachache...
  3. D

    Natafuta shule bora za High school (ada chini ya 2 Milioni)

    Wakuu habari zenu, Naomba kujua shule za advance za private zenye performance nzuri kwa mchepuo wa PCM hapa Dar ama Mwanza au popote hapa bongo lakni ada yake iwe chini ya 2 Million. Asanteni sana wakuu
Back
Top Bottom