Recent content by Dop

  1. D

    Lijue soko la HISA

    Kiongozi tusaidie process nzima za kuanza kununua Hisa from point 0.. ni kwamba tunatafuta hao mawakala au tunaenda kwenye kampuni ndio wanatudirect kwa mawakala? ama tunatafuta wanauza hizo hisa? Na kipi bora kati ya kununua hisa kwenye Kampuni au kwa mtu aneuza? msaada mkuu...
  2. D

    Soko la viazi vitamu Dar es Salaam

    Kiongozi umenena jambo zuri sana mi pia Niko interested na ulimaji wa viazi vitamu naitaji kufahamu kama Dar inawezekana kulima, mi Nina kiwanja huko kigamboni heka kama 3, 4 hivi sehemu inaitwa Mwongozo. Naomba kujua msimu wa kulima au Ni wakati wote na vipi kuhusu kilimo cha umwagiliaji...
Back
Top Bottom