nilipotoka heslb moja kwa moja nimeenda mpaka NACTE, NACTE wanadai kwamba majina walishayatuma TCU tatzo ni TCU ndo hawajayatuma heslb.
Watu wa TCU walipotafutwa hawakupatikanana simu zao zilikuwa hazipokelewi, kwa hiyo NACTE Wanadai tuwe wavumilivu maana kuna fungu la hela kwa ajili ya watu wa...
Taarifa niliyopewa leo na heslb juu ya wale wote ambao hawajapata taarifa juu ya mkopo kwamba wamekosa au wamepata, yaan akaunti zao hazidisplay taarifa yoyote ni kwamba admission zao hazijafika heslb kutoka NACTE, na inshu hapa ni kwamba NACTE wanadahili diploma holders lakini baada ya udahili...
Jamani sisi tuliopitia vyuo vya kati(diploma holders) karibia wote tumekosa mikopo ya kusoma elimu ya juu 2014/15 na wengi wetu tuliapply program zenye kipaumbele(priority) kama vile engineering na ualimu lakn hatuna mikopo, sasa je sisi wa diploma tunachukuliwaje??? au bodi ya mikopo na Nacte...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.