Ni jioni tulivu kabisa, naamua kuperuzi mtandaoni kupitia simu yangu ya kiganjani. nakutana na tangazo kutoka jamii forums linalohusu stories for change, ambalo kama nitaamua kushiriki napaswa kuandika kuhusu Tanzania ninayoitaka miaka kuanzia mitano ijayo.
Najihoji je! nataka Tanzania ya namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.