Habari ya mchana wakuu, nina tani 1.5 ya maharage ya njano mviringo (goroli) kutoka Songea, gunia tatu ni maharage niliyovuna June 2021 na yaliyobakia nilivuna March 2021. Mali ipo tandale sokoni nauza kwa 1600
Nakaribisha kwa yeyote mwenye uhitaji au connection ya kuuza huo mzigo
Contacts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.