Recent content by Domi1919

  1. Domi1919

    Biashara ya mikopo kwa wanafunzi wa chuo

    Nawaza kuifanya kama kikundi yan maana nlipokua nasoma chuo lipo group flan lilikua linafanya io kitu na naona walikua wanafanya vizuri tu
  2. Domi1919

    Biashara ya mikopo kwa wanafunzi wa chuo

    Habari wakuu. Nimemaliza chuo nimesoma microbiology degree. Kwan sasa nipo mtaani napambana na maisha. Nimekuja na wazo hapa la mikopo mnishauri mnalionaje. Nikiwa chuoni nimeona wanafunzi wengi wakihangaika wanapokosa pesa na Mimi nikiwa mmoja wapo. Sasa baada y kumaliza nimeona naweza...
Back
Top Bottom