Kwa wahusika wa mamlaka husika na wadau wa usafiri,
Ninaandika kuwasilisha malalamiko kuhusu hali inayozidi kujitokeza katika maeneo mbalimbali ya kushushia na kupandishia abiria wa daladala. Kumekuwa na baadhi ya waendesha bajaji na pikipiki kupakia abiria kama daladala, kusimama au kuegesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.