Kwa wewe mhitaji wa leseni namaanisha kwa madaktari,taarifa iliyopo ni kwamba shughuli zote zinafanywa online,ambapo ukimaliza kujaza taarifa hitajika,utagenerate control number,na kisha utalipia na kuprint leseni yako.Hakikisha kwa wewe unaye-renew una CPD zinazohitajika.
Wale wanaochukua...
Kwa wewe mhitaji WA cheti cha kifo,unatakiwa uwe na viambatanisho vifautavyo Ili uweze kuombewa cheti husika:
1.Muhtasari wa kikao cha familia
2.Barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji
3.Kiatambulisho cha marehemu
4.Kibali cha mazishi
5.Cheti cha kuzaliwa(kama ni mtoto wa marehemu) au...
📌 HUDUMA HIZI WAWEZA KUSAIDIWA KUZIPATA PASIPO KULAZIMIKA KUFIKA OFISI ZINAZOZOTOA HIZO HUDUMA KWA NYAKATI ZA MWANZO
📄 GHARAMA ZA VYETI VYA KUZALIWA (MALIPO YA SERIKALI KWA CONTROL NUMBER)
1. Cheti kipya (miaka 10+) – 20,000/=
2. Cheti kwa mtoto (umri 0-9) – 8,000/=
3. Kubadilisha cheti cha...
Tuendelee kuepuka gharama za muda na pesa zinazoweza kuepukika kwa mambo yasiyokuhitaji wewe uliye mbali na Dodoma kuwepo maeneo ya kupatiwa huduma na hata uliyepo Dodoma ila umetingwa na shughuli mbalimbali.Tuwasiliane kama wafanyavyo wenzako kwa 0765920855
Hata wewe mhitaji wa huduma kama hizi:-
📌 HUDUMA YA MAOMBI YA VYETI VYA KUZALIWA NA VIFO
📄 GHARAMA ZA VYETI (MALIPO YA SERIKALI KWA CONTROL NUMBER)
1. Cheti kipya (miaka 10+) – 20,000/=
2. Cheti kwa mtoto (umri 0-9) – 8,000/=
3. Kubadilisha cheti cha zamani kuwa kipya (OLD to NEW) – 7,000/=...
Hata wewe unayetaka kutuma barua kutoka huko uliko,fanya mawasiliano upewe maelekezo, itapokelewa na itafikishwa eneo husika kama ina changamoto utaambiwa urekebishe nini kulingana na majibu yatakayotolewa na wapokeaji wa sehemu itakatayopokelewa barua husika,hivyo wewe kuambiwa na kufanya...
Epuka gharama zinazoweza kuepukika.Fanya mawasiliano kwa njia ya kupiga au hata WhatsApp,kwa namba 0765920855 uhudumiwe kama wengi wanavyohudumiwa,kwa mambo kadha wa kadha yasiyowalazimu wao kuwepo maeneo ya kupatiwa huduma.
Fanya mawasiliano na huduma kwa wateja,sekretarieti ya ajira yawezekana wakakupa ufafanuzi ambao utakuja kuuweka humu kwa faida ya wengine ambao hawaoni transcripts na vyeti vyao kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.