Recent content by Dodoma messengers

  1. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Kwa wewe mhitaji wa leseni namaanisha kwa madaktari,taarifa iliyopo ni kwamba shughuli zote zinafanywa online,ambapo ukimaliza kujaza taarifa hitajika,utagenerate control number,na kisha utalipia na kuprint leseni yako.Hakikisha kwa wewe unaye-renew una CPD zinazohitajika. Wale wanaochukua...
  2. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Kwa wewe mhitaji WA cheti cha kifo,unatakiwa uwe na viambatanisho vifautavyo Ili uweze kuombewa cheti husika: 1.Muhtasari wa kikao cha familia 2.Barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji 3.Kiatambulisho cha marehemu 4.Kibali cha mazishi 5.Cheti cha kuzaliwa(kama ni mtoto wa marehemu) au...
  3. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    📌 HUDUMA HIZI WAWEZA KUSAIDIWA KUZIPATA PASIPO KULAZIMIKA KUFIKA OFISI ZINAZOZOTOA HIZO HUDUMA KWA NYAKATI ZA MWANZO 📄 GHARAMA ZA VYETI VYA KUZALIWA (MALIPO YA SERIKALI KWA CONTROL NUMBER) 1. Cheti kipya (miaka 10+) – 20,000/= 2. Cheti kwa mtoto (umri 0-9) – 8,000/= 3. Kubadilisha cheti cha...
  4. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Tuendelee kuepuka gharama za muda na pesa zinazoweza kuepukika kwa mambo yasiyokuhitaji wewe uliye mbali na Dodoma kuwepo maeneo ya kupatiwa huduma na hata uliyepo Dodoma ila umetingwa na shughuli mbalimbali.Tuwasiliane kama wafanyavyo wenzako kwa 0765920855
  5. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Hiyo milioni nne ni yale mashamba ambayo yako karibu na barabara. Nimeuliza wenyeji wa Yale maeneo.
  6. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Bei inategemeana na kiwanja,mfano ukitaka vya ndanindani hadi milioni 1 na laki nane au 4 unapata.
  7. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Zipo nyingi,labda ungenipa specifications mfano iwe karibu na wapi ili iwe rahisi mimi kukujibu.
  8. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Hata wewe mhitaji wa huduma kama hizi:- 📌 HUDUMA YA MAOMBI YA VYETI VYA KUZALIWA NA VIFO 📄 GHARAMA ZA VYETI (MALIPO YA SERIKALI KWA CONTROL NUMBER) 1. Cheti kipya (miaka 10+) – 20,000/= 2. Cheti kwa mtoto (umri 0-9) – 8,000/= 3. Kubadilisha cheti cha zamani kuwa kipya (OLD to NEW) – 7,000/=...
  9. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Hata wewe unayetaka kutuma barua kutoka huko uliko,fanya mawasiliano upewe maelekezo, itapokelewa na itafikishwa eneo husika kama ina changamoto utaambiwa urekebishe nini kulingana na majibu yatakayotolewa na wapokeaji wa sehemu itakatayopokelewa barua husika,hivyo wewe kuambiwa na kufanya...
  10. Dodoma messengers

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Epuka gharama zinazoweza kuepukika.Fanya mawasiliano kwa njia ya kupiga au hata WhatsApp,kwa namba 0765920855 uhudumiwe kama wengi wanavyohudumiwa,kwa mambo kadha wa kadha yasiyowalazimu wao kuwepo maeneo ya kupatiwa huduma.
  11. Dodoma messengers

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Fanya mawasiliano na huduma kwa wateja,sekretarieti ya ajira yawezekana wakakupa ufafanuzi ambao utakuja kuuweka humu kwa faida ya wengine ambao hawaoni transcripts na vyeti vyao kwa pamoja.
Back
Top Bottom