Recent content by Dodeo

  1. D

    Sponsors

    Actually nasimama badala ya mtu, hakufanya application coz alikuwa anaumwa sana
  2. D

    Sponsors

    Hakika haikuwezekana kutokana na sababu nje ya uwezo
  3. D

    Sponsors

    Samahani wakubwa, nahitaji kujiunga na masomo ya elimu ya juu na tayari nimepata chuo kikuu cha dodoma,, uwezo wangu kimaisha ni mdogo sana kumudu masomo hayo. Mwenye kufahamu naomba anishauri namna ya kupata sponsor hapa Tanzania ili niweze kusoma katika chuo hiki.
Back
Top Bottom