Tangazo.
Grpoup la dini ya kiislam.
Masomo tunayosoma.
[emoji117]Mbinu za Kujadiliana na makafir.
Njoo uone Quran inavyojibu hoja za
Makafir zilizoko ndani ya biblia.
[emoji117]Tawhid.
[emoji117]Aqida.
[emoji117]Fiqih.
Pia utajifunza faida mbalimbali za dini ya Kiislam.
Masharti ya...
Jibu
Al-Baqara (208).
Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali.Je,Yesu anajuwa kila kitu ?.
Ikiwa Yesu anajuwa kila kitu kwa nini alishindwa kujuwa siku ya mwisho ?.
Mathayo 24:36.
“Kuhusu siku ile na saa ile hakuna mtu anayejua,wala malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu".
Kwa kauli hii Yesu anakosa Sifa ya uungu.
Je,ni nani anaejuwa...
Mungu hana dini kwel kwasababu yeye aabudi sisi ndio tunaabudu sasa katika huku kuabudu akatuchagulia dini ya kiislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajifunza kuandika au ? Mimi ni shoga kivipi ? Mimi sikuzoooote huwa ha sema mkiristo akikosa aya ya kuthibitisha ananza matusi hebu fuatilia koment zangu kama nimetukana pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.