Recent content by Doct

  1. D

    Hospitali gani inatoa miwani kupitia bima ya afya ya NHIF?

    Kama wewe ndio mwanachama wa mfuko wa bima then membership number yako inaanzia na 01- wewe ndio principal member.
  2. D

    Hospitali gani inatoa miwani kupitia bima ya afya ya NHIF?

    Kwa policy ya NHIF miwani anapata principal member tu na ni miwani ya kusomea yenye thamani ya 20,000 tu.
  3. D

    Ni kipi chakula bora cha mbwa?

    Saga mahindi debe moja then changanya na original super dog food mfuko mmoja wa kg 5 halafu pika kama uji + nusu kilo ya malapulapu ya nyama na mifupa ambayo ni 500 tu atleast mara 4 kwa wiki, mbwa wako atakuwa na afya bora kabisa.
Back
Top Bottom