Ukweli ni kwamba
Hakuna kisicho wezekana,
Ukweli ni kwamba,
Kila mbuzi, atakula kwa urefu,
Wa kamba yake.
Ukweli ni kwamba,
Asiyesikia la mkuu,
Huvunjika guu,
Ukweli ni kwamba mabadiliko,
Daima hukutana na upinzani.
Ukweli ni kwamba,
Ng'ombe wa maskini hazai,
Ukweli ni kwamba,
Umaskini ni tabia...