Recent content by Dngobola

  1. D

    Rasmi Ibrahim Ajib Migomba atia saini kuitumikia yanga miaka 2

    Aliondoka Ronaldo pale man u sembuse ajibu, kwani nyinyi mlitaka akitoka simba aende WAP? Ile ni kazi yake yuko tayar kufanya kaz na club yoyte na cyo yanga na simba tu, hebu mashabiki tufike mahala na sis tuwe waelewa kidogo basi, Simba nguvu moja.
  2. D

    Ukweli kuhusu usajili wa Simba

    Tusidanganyane bwana, wachezaji wote waliosajiliwa na simba wamepostiwa kwenye app ya simba kwahyo ukiona simba hawajapost kwenye app yao ujue hawajamsajili yeyote, viva simba nguvu moja, alafu viongozi msitufanye sisi mashabiki wa simba tuonekane mbumbumbu jaman
  3. D

    Simba yafanya kufuru

    Timu inaposhiriki michuano ya kimataifa au ligi kuu lazima iwe na wachezaji wengi na wenye uwezo mkubwa
Back
Top Bottom