Recent content by dixwill

  1. D

    Kula kwa Lowassa Kura kwa Magufuli

    Lzm watu wajue kama hiki chama (ccm) hakijafanya ki2 chochote cha maana ktk hii nchi na huu ni wakati wa mapinduzi. Tuwaunge mkono UKAWA ili nchi isonge mbele tuache kutawaliwa na wanaojiona kama WENYE NCHI. Tunahitaji changes na ccm can't give us changes
  2. D

    GE2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

    Huyu Magufuli inabidi ashitakiwe kwa yale madaraja yalioanguka sababu ya kujengwa vibaya, barabara zinajengwa vibaya kusababisha mauwaji ya maelfu ya watu kila mwaka.
  3. D

    Lowassa kaweka nchi rehani

    Mh. Lowassa juu, juu zaidi
  4. D

    Magufuli vs Lowassa – the online evidence

    Ccm mmekwisha mwaka huu. Mtaleta propaganda zenu zakijinga lkn wananchi watawadi nguvu wenye nchi this time around
Back
Top Bottom