Recent content by Dixionel

  1. D

    Nilichokiona leo usaili wa Ubalozi wa Marekani

    Kaka Ubalozi ni Kwa post ipi hiyo??
  2. D

    Msaada kwa waliowahi kufanya usaili SUMATRA

    Ebwana komaeni.. kama watatunga wenyewe itakuwa poa tuu... Sema ni technical .. sijui Kwa accounts inakuwaje... Ila nakushari SOMA Sana .. yaani SOMA sana... Jamaa wanalipa vizuri na wapo very very Fair ... na wanalipa poa Sana .. yaani sana... Ni life time chance... Maisha yenu yatabadirika...
  3. D

    SUMATRA updates

    Hakuna sehemu ambayo hutumia muda mwingi kuita watu kama Sumatra ... Wakati mwingine hata miezi 6 Ndiyo unaitwa interview .... ...
  4. D

    TIA Vs TAFORI

    Duuh.. yaani hii ni hatari sana
  5. D

    TIA Vs TAFORI

    Nashukuru sana .. maana halo ni tete.... nitafanya maamuzi sahihi.....
  6. D

    TIA Vs TAFORI

    kaka nipe zaidi basi.. maana bado nipo njia panda hapa....
  7. D

    TIA Vs TAFORI

    kazi kweli.. yaani unaweza kusema haya ni majiribu .... kazi zinakuja kwa pamoja.. sasa unaweza kuchagua moja ukakosa ukaanza kulaani tuu.. Daaaah.. maisha haya..
  8. D

    TIA Vs TAFORI

    Nimeomba Information and Communication Technology Officer II mkuu
  9. D

    TIA Vs TAFORI

    Habarini ndugu zangu. Mimi ni wa muda humu ila Nilipoteza Password na username, nikawa nasoma post na maoni tuu humu. Samahani kwa kutokuwa active humu! Swala langu ni nimeitwa kwenye Interview mbili moja TIA- Tanzzania Institute of Accountancy na Nyingine ni TAFORI-Tanzania Forest Research...
  10. D

    Nafasi ya Kazi Mwalimu wa Computer

    Duuuh ... siwezi kuPM sababu sina post tano... ila nipo interested sana kaka
Back
Top Bottom