Recent content by Dispaaaaz

  1. Dispaaaaz

    Embolization Tanzania inafanyika wapi na ni bei gani.

    Nahisi nina testicle varicocele (mishipa ya korodani kuvimba) sija fanyiwa uchunguzi bado lakini kwa asilimia nyingi nahisi ndio hiyo. Nauliza hospital ipi nzuri kwa ajili ya kupima na matibabu yake ni sh. Ngapi?
Back
Top Bottom