Ahsnante sana kwa uwelewa wako na support yangu MUNGU akutunze
Mkuu picha ya duka nimeweka hapo pamoja na thamani yake hivyo mteja tutaesabiana naye tena kwa sababu duka sijafunga unaendelea kuliuza ila vitu ndo sinunui so thamn ya duka ya awali inapungua kwasababu naendelea kuuza kama kawaida
Ni ngumu kukuambia idadi ya bidhaa mkuu mana bidhaa ni nyingi kwa wenyeuzoefu wa biashara ya maduka wanaelewa...ndomana nimeweka namba kwa mwenye kua na interested anitafute
But nilipo kodi nalipa 60,000 na sidaiwi chochote....
Habari wakuu,
Nauza duka langu la vifaa vya ujenzi lililopo kibamba Dar es salaam maeneo ya Kibwegere duka linathamn ya m8. ( Milioni nane)
Mawasiliano yangu ni 0656052164.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.