Mie nauza dagaa wa kukaangwa kutoka mwanza
Wasio na mchanga
Pakti sh 1000
Jumla pakti kuanzia 50 kila pakti sh 800
Ndoo ya lita 20 sh 60000
Nipo dsm 0714943735
Pia biashara hii kwa sasa inachangamoto sana
Mfano kule mwaloni wamepandisha bei sana
Pia kuna kodi ya ushuru
Kibali cha maliasili si...
GENGE LA KISASA NAMAANISHA
NAKIDI FREMU NZURI AMBAYO IPO SEHEMU NZURI NA BARABARANI
NAWEKA MBOGAMBOGA
HOHO
KAROTI
VITUNGUU NK
NAWEKA MATUNDA MBALIMBALI
DAWEKA DAGAA AINA MBALIMBALI
BILA KUSAHAU KUWEKA UNGA
MCHELE
NA HATA SAMAKI WABICHI SATO NA SANGARA
Wakuu za muda huu
naombeni ushauri wa jinsiya kuanzisha genge la kisasa
ambalo nitaweka ndani ya fremu
nataka kuuza mbogaamboga zote
dagaa wa aina zote
matunda
mafuta ya kupikia
nafaka zote
na vinginevyo
mwenye mchanganua wa biashara hii na bei naomba msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.