Recent content by didoka

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nauza Mbao za mninga na Mkongo! Na tunatengeneza Milango na frem zake kwa kutumia Mbao zetu!

    Usijali sana hiyo bei ukiwa serious unapunguziwa!!
  2. D

    JamiiForums Tanzania Nauza Mbao za mninga na Mkongo! Na tunatengeneza Milango na frem zake kwa kutumia Mbao zetu!

    adau naomba mniwezeshe mwenzenu kwenye huu ulimwengu wa ujasiliamali. Ninauza Mbao za mninga na Mkongo mzigo umekuja juzi tu; wahi upate super!!! Bei zinatofautiana kutokana na size. Mbao zote zina urefu wa ft 10; 2x6 inaanzia 50,000/-; 2x8 inaanzia 70,000/-; 2x10 inaanzia 90,000/-. Karibu sana...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nauza Mbao za Mninga na Mkongo! Tunatengeneza Milango na Frem Zake!

    Naomba tuwasiliane na number 0788999689
  4. D

    JamiiForums Tanzania Nauza Mbao za Mninga na Mkongo! Tunatengeneza Milango na Frem Zake!

    Wadau naomba mniwezeshe mwenzenu kwenye huu ulimwengu wa ujasiliamali. Ninauza Mbao za mninga na Mkongo mzigo umekuja juzi tu; wahi upate super!!! Bei zinatofautiana kutokana na size. Mbao zote zina urefu wa ft 10; 2x6 inaanzia 50,000/-; 2x8 inaanzia 70,000/-; 2x10 inaanzia 90,000/-. Karibu sana...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kuweka meno ya bandia ya kudumu, inawezekana?

    Mimi nimeweka jino la permanent pale Agakhan huu ni mwaka wa tano; huwezi kulijua mpaka nikwambie na sijawahi pata tatizo lolote lipo kama meno mengine ila gharama yale ilikua kama milioni mbili mwaka 2011 sasa hivi dola imepanda sina uhakika itakua kiasi gani.
  6. D

    JamiiForums Tanzania China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    🙏🙏🙏🙏 ubarikiwe sana
  7. D

    JamiiForums Tanzania China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Ahsante sana Software Engineer; yan details ulizotoa ni msaada mkubwa. Ubarikiwe
  8. D

    JamiiForums Tanzania China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Huwezi kutoa hizo details mpaka nijibu hayo maswali? Mbona mtoa mada ametupa details bila kuuliza tunataka kununua nini China. Naomba details za kuexport kama mtoa mada alivyotoa details za kuimport . Ndo mana dola inashuka kwa sababu za kukatishana tamaa; tusaidiane mawazo ya kuexport bidhaa...
  9. D

    JamiiForums Tanzania China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

    Tafadhali naomba ushauri jinsi ya kuexport products zetu kwenda China; ni hatua zipi za kufuata ili na sisi tuwauzie bidhaa zetu.
Back
Top Bottom