Rudi kwenye Uzi usome kwa umakini then urudi tena hasa paragraphs za mwisho
Amini tu kwamba kuna watu wana tabia hizo bila kukosewa I.e huyu wangu sijswahi kumkosea makosa makubwa kama uzinzi
Mama wapo wanawake wenzenu hata ufanye kitu gani huwezi futa tabia aliyotoka nayo kwao
Utapiga utafanya...
Sio upole mama yangu
Mm ni gentleman nikiamua kuwa mkali nakua mkali hasa
Nashusha na kipigo kizito haswa
Sasa mama utapiga mtu kila Mara? Si utakjja kuua?
Ndio maana mwisho Wa Uzi nimesema nafikiria kuachana nae
Basically hakuna ushauri uliotoka hapa sijafanya
Duuu? ?
Ingependeza kama ukinifafanulia vizuri
You say I should be like a man
Zaidi ya kupiga nimepiga au unataka Niue sasa?
Ukiona nimekuja hapa ujue nimeshafanya yote uliyoshauri ww
Pia nimefikia muafaka Wa kuachana nae kama tabia hii itaendelea so what else do you want my girl?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.