wadau 2ckimbilie ajla wakat hatujapa qualification itakayo 2wezesha kupata hyo ajla 2nayo itafuta co cha mcng kukomaa na coz ulo chaguliwa na ajila imebak kama zal alvyo paa yesu!
4sure wana jf hawa heslb had wana cktisha coz raia walio b selectd vyuo vya private weng wanategemea kwnda next wk na bad m2 hajui ana category ip au katoswa! ni vema wakatoa mapema m2 ajue anajpangaje!
daa!noma xna! na inaumiza kwan ackudanganye m2 kusoma bla boom unaweza kata tamaa ya kusoma! kwanza utakuwa alwayz uko c2recd na saicologcally unaweza fel masom kwan muda wte utawaza wap utoe ada, stationery hasa zktolewa endout na hapo ndo panaumiza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.