Recent content by Dick Monger

  1. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    mwana mtoka pabaya
  2. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Mijitu mingine bana, gawa yako kwanza
  3. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Dah! Mmemuelewa huyu mtu jamani? Kwa nini usiandike Kiswahili tu, poor you!
  4. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Hopeless
  5. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Kuna watu wagumu sana wa kuelewa, hivi darasani ulikuwa unapataga ngapi vile?
  6. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Alisikika mlevi mmoja
  7. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Usi-divert hoja mkuu!
  8. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Mtabaki hivyohivyo! Mnakwepa kujadili mada mnaleta visingizio
  9. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Mekupenda bure Mariana japo tunapishana mitazamo
  10. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Sio wote! Nakataa
  11. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Dakika tatu ni kama unapiga stata tu, yaani kama ni msosi umeanza kutoa bites halafu unaishia hapo wakati mi nna njaa!
  12. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Unanisingizia mkuu, mi sinaga unafki, kama ni mimi ningefunguka
  13. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Mwanamke hulka yake kubembelezwa, sasa unataka mimi ndo nikubembeleze wewe, yaani chakula nikuandalie halafu nikubembeleze kula? Hapo ndio mnapokwama!
  14. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Unaacha kujadili hoja unajipa matumaini na jinsia, ngastuka, na wewe upo kundini?
  15. Dick Monger

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

    Na wewe una muunga mkono au unamuenjoy! Maandalizi yenyewe hata kwa bibi hufiki! Bora hata upige deki kidogo
Back
Top Bottom