Tanzania huru
Tanzania tuitakayo ni ile itakayo mupa uhuru wa kutoa maoni kuhusu selikali yetu ,
Siasa huru. Siasa huru ni ile inayo mpa mwanachama au mfuasi wa hicho chama kutoa maoni yatakayo isaidkia selikali kujua niwapi wanatakiwa kuongeza kuvu katika utendaji Kaz...
MATEGEMEO YA WATANZANIA
Tanzania ni nchi yenye kila aina ya kila kitu tunacho kihitaji, ila hatuna viongozi wanaoweza kutuongoza na kutufanya tunufaike na kila kitu tuicho nacho.
Mfano; familia anaeiongoza ni baba, baba kama hatakua na misimamo ambayo itawasaidia watoto kuifikia malengo Yao...
Tanzania tuitakayo inataka mambo mengi sana ili tufike katika lengo letu ila Kuna mambo ya muhimu ambayo tunaweza kuanza nayo ili Yale mengi tunayo yataka yapate kufanikiwa kabla ya yote Tanzania inatakiwa kukaa chini kujiuliza niwapi nakosea niwapi nazingua na kwanini sifikii malengo yangu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.