Recent content by Dhul Qarnainn

  1. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufu Katika Akili Na Dini

    Ninachokifahamu ni kuwa hata huko kutamka niyyah kwenye swala pia hakufai na je unaweza ukaniambia umepata wapi sheria hiyo ya kutamka niyyah?
  2. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Kutamka Niyyah Katika ‘Ibaadah Ni Upungufu Katika Akili Na Dini

    Ninachokifahamu ni kuwa jambo hilo ni dhambi
  3. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Al-Shabaab inatolewa katika Jihadi na wanazuoni kwa kuwa,imejihusisha na mashambulizi yanayolenga raia, kinyume na mafundisho ya Kiislamu yanayokataza kuua wasio na hatia.Pia,Al-Shabaab na makundi mengine kama hilo yanapinga serikali halali za Kiislamu kinyume na mafundisho ya Uislamu...
  4. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Sasa mkuu si nimeshakujibu.
  5. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Aya hii inazuia na kukataza urafiki wa ndani au wa karibu lakini haihamasishi chuki dhidi yao. "Musa bin Jafar alieleza kuwa Mtume ﷺ alifundisha: 'Msaidieni wale wasiokuwa Waislamu, kama wanahitaji msaada wakiwa na shida, na kutendewa wema kwao, kwa sababu katika wao kuna watu wanaotafuta...
  6. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Ipo kama ilivyo.
  7. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Uislamu ni dini ya amani na haikufundisha chuki au ubaguzi. Uislamu unasisitiza umuhimu wa kuelewa na kufuata mafundisho sahihi ya dini, na wala siyo kueneza chuki au kuvuruga amani. Uislamu unasisitiza sana elimu, kama alivyosema Mtume ﷺ: "Kutafuta elimu ni faradhi kwa kila Muislamu." Hivyo...
  8. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Mitihani imetokana na hikima ya Allah ambaye ameumba kila kitu kwa makusudi. Allah hakupungukiwa na kitu wala hakulazimika kutuumba kwa sababu ya kitu chochote, lakini alifanya hivyo kwa mapenzi Yake. Dunia ni mahali pa mtihani ambapo kila mmoja anapewa nafasi ya kuchagua imani na kufanya...
  9. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Sasa wewe mkuu ulikuwa unashauri waumini wa huo msikiti wawatoe hao wanaouza miili yao kwa nguvu?
  10. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Sijazifuatilia ila kama nilivyokuambia nilifatilia wanazuoni kadhaa ambao wametofautiana juu ya suala hilo.
  11. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Mkuu,Allah ameumba watu kwa hikima na kwa makusudi ya kuwapa uhuru wa kuchagua. Dunia hii ni mahali pa mtihani, na kila mmoja anapewa nafasi ya kuchagua imani na matendo yake. Allah ameumba watu na mitihani ya maisha, ikiwa ni pamoja na matamanio, na ndiyo maana Jihad ya nafsi inahitajika ili...
  12. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Mimi siwafahamu kiundani Hamas kama ninavyoyafahamu makundi niliyoyataja hapo juu.
  13. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Mkuu,Osama bin Laden, yeye si mwanazuoni wa Kiislamu, na ujuzi wa mtu haupimwi kwa jina lake bali kwa elimu sahihi kutoka Qur’an na Sunnah. Hata kama yeye amejenga huo msikiti haimaanishi kuwa ndio atakuwa na Ilmu kubwa pia,hata kama akawa na Ilmu kubwa hiyo haimaanishi kuwa lazima kila...
  14. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Unamaanisha nini?
  15. Dhul Qarnainn

    JamiiForums Tanzania Fahamu Maana Halisi ya Jihad na Jinsi Inavyopotoshwa

    Kwa nini?
Back
Top Bottom