Kwani mtoto wa pekee inamaanisha mtoto wa kwanza au yule umpendaye kuliko wote. Ebu turudi kwenye maisha ya kawaida ukienda kwa mganga kuambiwa ili upate mafanikio unapaswa kumtoa mtoto wa pekee je huwa wanamaanisha mtoto wa kwanza au yule anae gusa moyo wako? Haya twende na mawazo yako kati ya...
tunakukaribishA korogwe TTC utazoea tu ndugu ndo maisha yetu hayo hakuna mteremko siku zote ndo kwanza upo mwaka wa kwanza unaanza kukosoa .fanya kilicho kuleta mengine piga chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.