Pole sana kwa changamoto hii. Pamoja na kwamba wanachuo nao wanahitaji mazingira safi na salama, lawama zangu nazielekeza kwa waandaji wa mkutano. Hawakujiridhisha na mazingira kama yanafaa kwa ajili yenu wachungaji? Uwepo wenu kwenye mkutano ni hisani kwamba hamuwezi kupata sehemu nyingine...
Sahihi kabisa. Walipokea uongozi wa chama kutoka kwakwe, walitakiwa kuendeleza na si kumlaumu Mbowe kwamba aliwachelewesha. Wanasikika mara kwa mara kwamba wao hawafanyi siasa za udalali kana kwamba mtangulizi alikuwa dalali. Kwakuwa wao ni radicals waendelee na mapambano ili tuone matunda...
Uchaguzi wa 2025 haukuwa wa kwanza na si wa mwisho. CHADEMA wameshiriki chaguzi nyakati zote katiba na sheria zikiwa zilezile. Kwamba kwa kuwa hawakuwa tayari kuzungumza kabla ya uchaguzi si sababu ya kutokuzungumza baada ya uchaguzi. Nchi ni ya mfumo wa vyama vingi. Mmoja kususa hata kama...
Kwa idadi ya vyama vya upinzania si tu walitakiwa kuungana kudai reforms bali kuwa na chama chenye nguvu kukabiliana na watawala. Reforms zinaweza kuwepo na mkaishia kugawana kura, sina hakika kama chadema pekee wanaweza kushinda nusu ya majimbo ya uchaguzi hata kama wao ndio watajigeuza kuwa...
Mara nyingi wanaofuatilia upinzani hawana alternative lazima kuingia kwenye mitandao ya kijamii. Habari za ccm zinarushwa kwenye TV ambako mtazamaji halipi. Upinzani una mashabiki wengi ambao si loyal. CCM inasafirisha watu kwa sababu inao na inajua wanapoishi.
Ni wazi hapakuwa na mkakati wa kuzuia uchaguzi. Kinachofanyika ni kuweka kumbukumbu kwamba walijitokeza kupigania haki hata kama mbinu waliyochagua haikuwa inatekelezeka.
Nakubaliana na wewe. Tupunguze ujinga wetu kwa kusoma, tutafute na kujiongezea maarifa. Vitabu vipo na machapicho mengine yapo. Udanganyifu kwenye chaguzi umekuwepo wakati mwingi. Sokoine alipochaguliwa kuwa mbunge 1965, mchango wake wa kwanza bungeni alizungumzia mambo matano, na matatu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.