Kwa idadi ya vyama vya upinzania si tu walitakiwa kuungana kudai reforms bali kuwa na chama chenye nguvu kukabiliana na watawala. Reforms zinaweza kuwepo na mkaishia kugawana kura, sina hakika kama chadema pekee wanaweza kushinda nusu ya majimbo ya uchaguzi hata kama wao ndio watajigeuza kuwa...
Mara nyingi wanaofuatilia upinzani hawana alternative lazima kuingia kwenye mitandao ya kijamii. Habari za ccm zinarushwa kwenye TV ambako mtazamaji halipi. Upinzani una mashabiki wengi ambao si loyal. CCM inasafirisha watu kwa sababu inao na inajua wanapoishi.
Ni wazi hapakuwa na mkakati wa kuzuia uchaguzi. Kinachofanyika ni kuweka kumbukumbu kwamba walijitokeza kupigania haki hata kama mbinu waliyochagua haikuwa inatekelezeka.
Nakubaliana na wewe. Tupunguze ujinga wetu kwa kusoma, tutafute na kujiongezea maarifa. Vitabu vipo na machapicho mengine yapo. Udanganyifu kwenye chaguzi umekuwepo wakati mwingi. Sokoine alipochaguliwa kuwa mbunge 1965, mchango wake wa kwanza bungeni alizungumzia mambo matano, na matatu ya...
Kama nimeelewa sehemu ya ujumbe wa ZZK, kuwa na bunge lisilo kibogoyo si kusaidia nchi na wanachi bali kuvisaidia vyama vyote/vingi vya siasa kupata michango toka kwa wafanyabiashara. Hii ni kwa sababu wakichangia vyama vyote sisi wanachi hatutajua kashfa zao maana bunge lote litakuwa kibogoyo...
Kuzungumzia mchakato wa ccm bila kuutazama mchakato unaoleta haki kwa vyama vyote ni kutolitendea haki taifa. Kwa nilivyoelewa yeye anajali mambo yaende vizuir ndani ya chama, malalamiko ya wengine si tatizo kwake. Wahuni ni wengi.
Ni vizuri kuwaza katika uhalisia na si kuwaza zaidi ya uwezo ulionano. Nampongeza ZZK kwa kuwa mkweli. Tumewaona waliokuwa G55 kama kweli ndio walikuwa wagombea pekee wa kuindoa ccm madarakani, bado safari ni ndefu sana.
2019 hawakushiriki uchaguzi serikali za mitaa hivyo kutoshiriki uchaguzi huu ni sawa wamelipa deni sababu 2020 ubunge na Rais waliweka wagombea na ilionekana wamewaonea wagombea waliokuwa tayari kushiriki serikali za mitaa. Ni uamuzi mzuri kwao unaoweka usawa katika chaguzi zote mbili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.