Recent content by Desktop

  1. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bwege: Vyama vyote vya upinzani vilipaswa kuungana kususia uchaguzi kudai reforms

    Kwa idadi ya vyama vya upinzania si tu walitakiwa kuungana kudai reforms bali kuwa na chama chenye nguvu kukabiliana na watawala. Reforms zinaweza kuwepo na mkaishia kugawana kura, sina hakika kama chadema pekee wanaweza kushinda nusu ya majimbo ya uchaguzi hata kama wao ndio watajigeuza kuwa...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Manguli wa uchambuzi waendelea kumpumulia Polepole, Majjid Mjengwa naye asema gesi ya Tanzania ni bei rahisi kuliko Cuba

    Yapange yoooote aliyosema kwa kuzingatia faida.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Manguli wa uchambuzi waendelea kumpumulia Polepole, Majjid Mjengwa naye asema gesi ya Tanzania ni bei rahisi kuliko Cuba

    Kutokukomalia mengine hakuondoi uhalali wa kukomalia la bei ya gesi.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Leo "Live" za mikutano ya kampeni ya CCM huko mitandaoni hazifikishi hata Viewers 100

    Mara nyingi wanaofuatilia upinzani hawana alternative lazima kuingia kwenye mitandao ya kijamii. Habari za ccm zinarushwa kwenye TV ambako mtazamaji halipi. Upinzani una mashabiki wengi ambao si loyal. CCM inasafirisha watu kwa sababu inao na inajua wanapoishi.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya CHADEMA Kuandika Barua UN, US, EU, AU, EAC ni sawa na kupaka rangi upepo.

    Ni wazi hapakuwa na mkakati wa kuzuia uchaguzi. Kinachofanyika ni kuweka kumbukumbu kwamba walijitokeza kupigania haki hata kama mbinu waliyochagua haikuwa inatekelezeka.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Aliyepata 1% amuangusha aliyepata 56%, Hii maana yake Wajumbe hawana lolote mbele ya Wenye Chama

    Kama Kama kazi ya kamati kuu na H/K ni kupitisha kila kilicholetwa toka kwa wajumbe hakuna sababu ya wao kukutana.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Pole Pole amegundua watanzania bado wajinga kwa hiyo anafanya Political Manipulation

    Nakubaliana na wewe. Tupunguze ujinga wetu kwa kusoma, tutafute na kujiongezea maarifa. Vitabu vipo na machapicho mengine yapo. Udanganyifu kwenye chaguzi umekuwepo wakati mwingi. Sokoine alipochaguliwa kuwa mbunge 1965, mchango wake wa kwanza bungeni alizungumzia mambo matano, na matatu ya...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole kesho Agosti 21 kuongea na taifa ikiwa maoni yake hayatafanyiwa kazi

    A Amenikumbusha mchezo wa utotoni (mtu na mdogo wake) usipofanya hiki nitakusema kwa baba/mama. Mwambie aache utoto.
  9. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Wafanyabiashara zamani waliichangia CCM kisirisiri kwa hofu ya kashfa zao kuibuliwa Bungeni

    Kama nimeelewa sehemu ya ujumbe wa ZZK, kuwa na bunge lisilo kibogoyo si kusaidia nchi na wanachi bali kuvisaidia vyama vyote/vingi vya siasa kupata michango toka kwa wafanyabiashara. Hii ni kwa sababu wakichangia vyama vyote sisi wanachi hatutajua kashfa zao maana bunge lote litakuwa kibogoyo...
  10. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Mchakato wa CCM kumpitisha Samia kuwa Mgombea Urais 2025 haukuwa halali

    Kuzungumzia mchakato wa ccm bila kuutazama mchakato unaoleta haki kwa vyama vyote ni kutolitendea haki taifa. Kwa nilivyoelewa yeye anajali mambo yaende vizuir ndani ya chama, malalamiko ya wengine si tatizo kwake. Wahuni ni wengi.
  11. D

    JamiiForums Tanzania Zitto acha kudharaulisha upinzani, wapinzani sio wa kulenga kupata viti 30, 40 au 50 vya ubunge.

    Ni vizuri kuwaza katika uhalisia na si kuwaza zaidi ya uwezo ulionano. Nampongeza ZZK kwa kuwa mkweli. Tumewaona waliokuwa G55 kama kweli ndio walikuwa wagombea pekee wa kuindoa ccm madarakani, bado safari ni ndefu sana.
  12. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche: CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi watuibie sisi tumekataa, Inawezekanaje Haji Manara awe refa mechi ya Simba na Yanga?

    Wamekataa uchaguzi wa Oktoba 2025 au chaguzi zote mbeleni? Baada ya uchaguzi wa Oktaba 2025 ipi itakuwa hoja yao kwa sababu maisha lazima yaendelee.
  13. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Joseph Butiku: Naunga mkono mazungumzo ya Reforms. Kuna rushwa, kuiba kura na Polisi kutumika vibaya

    Mleta mada umechagua kupotosha kwa makusudi kana kwamba umesikiliza ukiwa peke yako.
  14. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je utashiriki kupiga kura kwenye uchaguzi 2025 baada ya CDM kutokuwepo kwenye mchakato?

    2019 hawakushiriki uchaguzi serikali za mitaa hivyo kutoshiriki uchaguzi huu ni sawa wamelipa deni sababu 2020 ubunge na Rais waliweka wagombea na ilionekana wamewaonea wagombea waliokuwa tayari kushiriki serikali za mitaa. Ni uamuzi mzuri kwao unaoweka usawa katika chaguzi zote mbili.
Back
Top Bottom