nilienda ofisi ya mwanasheria mkuu siku moja kabla hawajatangaza hayo majina kwenye site nikaambiwa kwa sasa hawaajiri CSA, yule HR akaniambia nenda secretariat nilipofika wakaniambia watu kada yetu hawajapangiwa bado. so kuna sitofahamu kati ya hzi ofisi mbili
anaejua lolote kuhusiana na interview za uhamiaji atupe mwanga maana sielewi interview ya tar 13 pale uwanja wa taifa itakuwaje. kama ni kuruka kichura na kukimbia tuambizane tuanze mazoez mapema jaman. naomba msaada wenu jaman
cha msingi tusiilaumu serekal kwa sababu kila kitu kinaenda kulingana na mipango waliojiwekea. yawezekana bado siku ya kutoa hayo majina haijafika kwa hyo tuwe na subira ndugu zangu tuiamin serekal yetu tusiwe na jazba kwa mambo ambayo tunayajua yanatekelezwa kulingana na mipango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.