Recent content by DesertStorm

  1. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu azidi kuitambia Iran akiwa juu ya mlima wa Hermon nchini Syria

    Mmh anaemuunga mkono huyu muuwaji, nafsi haimsuti hivi? Kweli tunatofautiana
  2. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Wamchunguze vizuri kama sio chadema
  3. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Anaechukua video sasa, hatulii.
  4. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Mama Samia jitathmini unaoenekana haupo sawa kabisa. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako?

    Kabla ya kuanzisha uzi huu una kithibitisho au ushahidi wa hicho ukisemacho?
  5. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Dereva wa lori auwawa na mlinzi wa puma petrol station Morogoro

    Muislam amemuua ndugu yake Muislam! subhanallah, tena ametoka msikitini kuswali swalaatil fajr maskini. Kuna watu imani hawana, huruma hawana, wanatanguliza maslahi mbele, na yote ni mambo ya dunia, yupo tayari kuuwa kisa tu 500/= ayat 33 from Surah Al-Isra ﴿وَلَا تَقْتُلُوا النَّفْسَ الَّتِي...
  6. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Zilitawaliwa na nani hizo nchi?
  7. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Wasingekuja waarabu/waislamu Afrika ya mashariki sijui tu hali ingelikuaje. Ahsanteni sana WAARABU.
  8. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Baadhi ya maafisa wa serikali wanadhulumu sana watu kwa kigezo cha "kutekeleza majukumu ya kikazi"

    Kukata miti bila kibali hairuhusiwi Polisi kuchukua na kwenda kutumia na familia zao hiyo pia haiko sawa. Ili likome hili basi washushe bei ya gesi, utaona kama wanakata miti na kuchoma mkaa kinyemela. In short, sisapoti pande zote....kwa police na raia
  9. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unanunua nguo maalumu za kulalia ili iweje?

    Ukiishi na waislamu/waarabu utastaarabika. Sasa wewe unaishi sijui na jamii gani hapo hata nguo tu ya kulalia una hoji! Kweli!! Kuoga pia unaona ajabu!!
  10. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Nimetuma takriban sekunde 10 kwenye tendo

    Hivyo vyakula umemtajia inategemea na mfuko wake
  11. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Naona bado haijawafunza, na this time wasijaribu,
  12. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Congo abuni biashara ya kipekee, atoza watu shilingi elfu moja kumchapa kofi, wengi wavutiwa na ubunifu wake

    Nawaonea huruma Afrika ya kaskazini tu, aibu gani hii mnatuletea. Hata kama ni njaa ila sio hivyo
  13. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Katika Uislamu, mtu asiyekubali au kukataa kuingia katika dini hii na akafa katika hali hiyo, haitokubaliwa kwake dini nyingine mbele ya Mwenyezi Mungu, na kesho Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara, kama inavyoelezwa katika Qur'ani Tukufu (Surat Aal-Imran: 85). Msimamo wa Uislamu kwa...
Back
Top Bottom