Katika Uislamu, mtu asiyekubali au kukataa kuingia katika dini hii na akafa katika hali hiyo, haitokubaliwa kwake dini nyingine mbele ya Mwenyezi Mungu, na kesho Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara, kama inavyoelezwa katika Qur'ani Tukufu (Surat Aal-Imran: 85).
Msimamo wa Uislamu kwa...
Hao hao tech wamepotea, bado wapo katika ujahili
Bakwata kama wanatumika kisiasa, na hawapo kwa ajili ya waislamu basi watakua na majibu mbele ya Mwenyezi Mungu.
ayat 64 from Surah Al-Ankabut
﴿وَمَا هَٰذِهِ الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا لَهْوٌ وَلَعِبٌ ۚ وَإِنَّ الدَّارَ الْآخِرَةَ لَهِيَ...
Hata wawe wamesoma vipi ila haiondoi ukweli kuwa "wao bado wako katika ujahili" kwa maana wamepotea
Kwa bakwata, kama wanatumika kisiasa basi kwa Allah watakua na lakujibu.
Allah atakuafu na utapona, wewe ni Muislamu na usidanganyike ukaenda kwa waliopotea manabii feki n.k.
Jikite kwenye ibada, muombe Mwenyezi Mungu akuondolee maradhi n.k. na acha kumshirikisha kwa chochote
Neema kubwa zaidi ulimwenguni
Allah amempa mwanadamu neema ambazo hazihesabiki. Kila mmoja miongoni mwetu bado yungali akiishi katika neema za Allah na fadhila zake. Yeye aliyetakasika ndiye aliyetupa neema ya kusikia na kuona wakati ambapo watu wengi wamenyimwa neema hizo. Pia ametupa neema...
ayat 32 from Surah Al-Isra
﴿وَلَا تَقْرَبُوا الزِّنَا ۖ إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاءَ سَبِيلًا﴾
[ الإسراء: 32]
Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
mbaya. (17:32)
And do not approach unlawful sexual intercourse. Indeed, it is ever an immorality and is evil as a way...
Anaefanya hivyo ana lakujibu mbele ya Mola wake, kwa sasa ataendelea hivyo bila khofu yoyote, atakula bata wee, wala hawafikirii ipo siku wataondoka, je utaondoka na matendo gani!!! Allah atujaalie mwisho mwema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.