Recent content by DesertStorm

  1. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Naona bado haijawafunza, na this time wasijaribu,
  2. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Congo abuni biashara ya kipekee, atoza watu shilingi elfu moja kumchapa kofi, wengi wavutiwa na ubunifu wake

    Nawaonea huruma Afrika ya kaskazini tu, aibu gani hii mnatuletea. Hata kama ni njaa ila sio hivyo
  3. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Katika Uislamu, mtu asiyekubali au kukataa kuingia katika dini hii na akafa katika hali hiyo, haitokubaliwa kwake dini nyingine mbele ya Mwenyezi Mungu, na kesho Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara, kama inavyoelezwa katika Qur'ani Tukufu (Surat Aal-Imran: 85). Msimamo wa Uislamu kwa...
  4. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Huyo mpenzi wako mnaishi kama vimada au mmeoana?
  5. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Hao hao tech wamepotea, bado wapo katika ujahili Bakwata kama wanatumika kisiasa, na hawapo kwa ajili ya waislamu basi watakua na majibu mbele ya Mwenyezi Mungu. ayat 64 from Surah Al-Ankabut ﴿وَمَا هَٰذِهِ الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا لَهْوٌ وَلَعِبٌ ۚ وَإِنَّ الدَّارَ الْآخِرَةَ لَهِيَ...
  6. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Hata wawe wamesoma vipi ila haiondoi ukweli kuwa "wao bado wako katika ujahili" kwa maana wamepotea Kwa bakwata, kama wanatumika kisiasa basi kwa Allah watakua na lakujibu.
  7. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Usiseme dude kubwa, Sema waliopotea kwa maana bado wako katika ujahili
  8. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Allah atakuafu na utapona, wewe ni Muislamu na usidanganyike ukaenda kwa waliopotea manabii feki n.k. Jikite kwenye ibada, muombe Mwenyezi Mungu akuondolee maradhi n.k. na acha kumshirikisha kwa chochote
  9. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Nabii Tito akamatwa na Polisi Dar

    Eti nabii. Nabii wa mwisho ni Nabii Muhammad S.A.W, baada yake hakuna nabii tena.
  10. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Neema kubwa zaidi ulimwenguni Allah amempa mwanadamu neema ambazo hazihesabiki. Kila mmoja miongoni mwetu bado yungali akiishi katika neema za Allah na fadhila zake. Yeye aliyetakasika ndiye aliyetupa neema ya kusikia na kuona wakati ambapo watu wengi wamenyimwa neema hizo. Pia ametupa neema...
  11. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    ayat 32 from Surah Al-Isra ﴿وَلَا تَقْرَبُوا الزِّنَا ۖ إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاءَ سَبِيلًا﴾ [ الإسراء: 32] Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya. mbaya. (17:32) And do not approach unlawful sexual intercourse. Indeed, it is ever an immorality and is evil as a way...
  12. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania HOJA Upimaji wa uzito wa nyama mabuchani unanipa mashaka kila siku

    Anaefanya hivyo ana lakujibu mbele ya Mola wake, kwa sasa ataendelea hivyo bila khofu yoyote, atakula bata wee, wala hawafikirii ipo siku wataondoka, je utaondoka na matendo gani!!! Allah atujaalie mwisho mwema
  13. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Boda boda, bajaji na vidaladala nawaona wakifurahia tu 😄
  14. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Hivi BOT Mnasubiri Nini Kuweka Picha Ya Rais Samia katika Noti Zetu? Mnataka Taifa lifanye Maandamano yasiyo na kikomo?

    Ni upumbavu tu, wamekariri mama mama mama, je kama ni upande wa pili wanafanya ili kumchafua mama! Sitaki kuamini kote kote, Allah ndie anajua!!
Back
Top Bottom