Shida yenu mnakuja na neno hakustahili mara si halali bila kuweka takwimu za huyo mnaesema anastahili😄 Mashabiki wa ronaldo bwana hahaaa.
Weka ya messi
Weka ya huyo unae ona kaonewa
Nasubiri jibu
Mpaka kufika final na kutwaa ubingwa tasema timu mbovu hiyo!! Hivi huwa unafuatilia mechi za Argentina kweli! Au mahaba yamezidi kwa mchezaji na flani ndio maana unaongea hayo!
Unaweza kuthibitisha kama walibebwa!
Final na spain huo ndio mchezo wanaochezaga Argentina siku zote?? Au na hapa utasema walibebwa lakini hawakubebeka!!!
Pia jiulize why 0!!! Kwa timu bora no1 in the world!!! Hujiulizi tu kuna nini behind the door!!! Taarifa nyingi zinasambaa mitandaoni, inaonekana Argentina wamelazimishwa kulose hiyo final
Hahaaaa, hivi niwaulize tu "Hii fainali haikupangwa kweli????? Aiseeeee ni aibu aibu.... je sababu ya ule ujumbe wa Falkland ikafikia Argentina alazimishwe kuLOSE final!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.