Ni nani mwenye chuki na mwenzie hapo kati yako na mwarabu?? Kabla hujawatuhumu waarabu anzia nyumbani kwako kwanza kwa maana nchini kwetu, watu wanauwana, wananyongana, wanachomana moto, kukatana vidole, kunyofoa viungo vya ndani, sehemu za siri n.k, albino kuuawa na wengine kukatwa viungo kama...