Recent content by DesertStorm

  1. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Umesema watoto pia
  2. DesertStorm

    Mohamed Salah: Sidhani kama sisi ni mwiongoni mwa timu zinazotarajiwa kushinda AFCON

    Sioni kama kulikua na penati hapa sheikh, angalia vizuri kabla hajasukumwa alikua tayari amejiangusha
  3. DesertStorm

    Kila la kheri kwenu Morocco 🇲🇦 Algeria 🇩🇿

    Wale mnaowatakia ama kuwaombea mabaya waarabu waondolewe kwenye mashindano haya ya AFCON na wabakie weusi tu mmefeli, tena sio kidogo, hakunaga duaa mbaya kwa mwenzio na ikakubaliwa.... huo ni ubaguzi na chuki ya wazi kabisa, wewe kama una imani haswaa na khofu ya Mwenyezi Mungu huwezi kufanya...
  4. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Waarabu wamebarikiwa,
  5. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Watoto walisikia kumbe na sio kushuhudia! Kwaheri
  6. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Ni nani mwenye chuki na mwenzie hapo kati yako na mwarabu?? Kabla hujawatuhumu waarabu anzia nyumbani kwako kwanza kwa maana nchini kwetu, watu wanauwana, wananyongana, wanachomana moto, kukatana vidole, kunyofoa viungo vya ndani, sehemu za siri n.k, albino kuuawa na wengine kukatwa viungo kama...
  7. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Ona sasa mnajichanganya wenyewe 😄 chuki haimuachi mtu salama, acheni chuki fanyeni kazi. Hebu tuone ka clip kama unachosema ni kweli
  8. DesertStorm

    Nawaombea sana moja kati ya timu za kiarabu ichukue AFCON, kila la kheri kwenu

    Usifikiri sudan na Senegal nimeeaweka hapo kwa kujua wapo afrika ya kaskazini, jiongeze kaka
  9. DesertStorm

    Nawaombea sana moja kati ya timu za kiarabu ichukue AFCON, kila la kheri kwenu

    Nawachana live wenye chuki na wabaguzi dhidi ya waarabu.
  10. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Sema tu huwapendi waarabu, hata kabla ya hizo tetesi mliwapenda lini waarabu? Na ndio maana wanaendelea nyie wenye roho mbaya na chuki mtabakia kuwa masikini tu. Wao ni waarabu na hata kama aliongea kwa ajili ya waarabu pia wako sahihi, maana mnawabagua sana. Morocco endeleeni kunyoosha pale...
  11. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Jiangalie hapo ulipo una maendeleo gani kwa CHUKI??? kazi kuwachukia waarabu, ingelikua chuki inaleta utajiri basi wewe na wafuata mkumbo wenzio mgelikua matajiri sana. Pole sana Morocco 🇲🇦💪🏽🔥🔥
  12. DesertStorm

    Djigui Diarra ni shujaa

    Shida yenu mnapenda kusikia kibaya kutoka kwa waarabu, wakati south wanauwa waafrika wenzao na kupora mali zao je mliwachukia!! Ila kwa mwarabu ndio imekua shida!! Sema wafuata mkumbo mko wengi, nikikuomba clip wakati anaongea hayo maneno utaleta?
  13. DesertStorm

    Nawaombea sana moja kati ya timu za kiarabu ichukue AFCON, kila la kheri kwenu

    Mmejawa chuki tu ndio maana hamuendelei Nawaombea sana ndugu zangu waislamu wa Afrika ya kaskazini mmoja aibuke na ushindi/kombe. Morocco Algeria Egypt Tunisia Sudan Senegal
Back
Top Bottom