Recent content by derickdon

  1. derickdon

    Tanzania tunawanyonya sana IT experts. Tuwape thamani sawa na kazi zao

    Upo sahihi sana na hii ndo shida kubwa inayodhoofisha hizi kazi
  2. derickdon

    Tanzania tunawanyonya sana IT experts. Tuwape thamani sawa na kazi zao

    Mbaya zaidi ni bora awe yule mtu asiye na ufahamu wa hizi kazi,hila unakuta mtu anajua af anakuletea pigo hzo
  3. derickdon

    Tanzania tunawanyonya sana IT experts. Tuwape thamani sawa na kazi zao

    Jana nikiwa kwenye mwendokasi nikitokea morocco,nikapokea simu ya client mmoja anamiliki duka la simu na computer hapo posta. Anazo pesa kwelikweli. Simu ilikuwa ya wito wa kazi ya kudesign na kudevelop web kwa ajili ya biashara yake. Nilishuka kisutu nikaprint kwa mguu kwenda ofisini kwake...
Back
Top Bottom