Kumekuwa na changamoto katika kupata ukumbi mkubwa kutokana na sababu ambazo mwajua ni za kuzuia hizi harakati, ulipatikana ukumbi mkubwa na baadae wakageuka, hivyo ni sehemu ya mapambano. hata sisi tunatambua kuwa ukumbi ni mdogo ila ndio facility ambayo tumefanikiwa kuipata kutokana na sababu...
umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) unawatangazia watanzania wote kuwa kesho tarehe 5 april 2014 kutakuwa na kongamano katika ukumbi wa Landmark hotel- Ubungo, kituo cha Riverside kuanzia saa tatu kamili asubuhi.
Viongozi wa kitaifa wa vyama vifuatavyo watakuwepo: Nccr-mageuzi. CHADEMA na CUF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.