Mango tree residence ni mradi mpya unaojengwa hivi sasa eneo la Msasani beach nyuma ya nyumba ya mwalimu nyerere mikocheni.
Mradi huu ni mradi mpya utakaokuwa na apartment za kisasa (Luxury apartments) Ni mradi Blocks 5 zenye gorofa 17 kila blocks
Mradi huu una aina 3 za apartments 1,2&3...
Mango tree residence ni mradi mpya unaojengwa hivi sasa eneo la Msasani beach nyuma ya nyumba ya Mwalimu Nyerere - Mikocheni.
Mradi huu ni mradi mpya utakaokuwa na apartment za kisasa (Luxury apartments) Ni mradi Blocks 5 zenye gorofa 17 kila blocks na una aina 3 za apartments 1,2&3 bedrooms...
Mango tree residence ni mradi mpya unaojengwa hivi sasa eneo la Msasani beach nyuma ya nyumba ya mwalimu nyerere mikocheni.
Mradi huu ni mradi mpya utakaokuwa na apartment za kisasa (Luxury apartments) Ni mradi Blocks 5 zenye gorofa 17 kila blocks
Mradi huu una aina 3 za apartments 1,2&3...
Mango tree residence ni mradi mpya unaojengwa hivi sasa eneo la Msasani beach nyuma ya nyumba ya mwalimu nyerere mikocheni.
Mradi huu ni mradi mpya utakaokuwa na apartment za kisasa (Luxury apartments) Ni mradi Blocks 5 zenye gorofa 17 kila blocks
Mradi huu una aina 3 za apartments 1,2&3...
Kenge ww sio nizinunue,, mimi nawauzia matajiri nami napata changu. Sasa ww kula kwako kwenye kwa shida harafu unaona post imeandikwa dola 244,000 unaleta pua yako kwenye post yangu😂😂 unakichaa wewe😂😂 hangaika na kula kwako kijana huku maji ni marefu. Mimi huniwez pambana na maisha yako. Siku...
Jibu linaonesha hujaelewa nilichoandika ndo maana nikakuuliza tena. Rudia tena kaisome harafu uniulize tena, broo mimi nipo kwenye hii industry najua michezo yote huwez kunifundisha kazi yangu.
Tunaita service charges ambazo zitakuwa zinafanana na sq meter za unit zetu. Kwa mfano tuna unit za sq 52, 54, 80,98,120,124na 150 hizi zote ni aina za unit au apartment za saiz hizi. So apartment yyt utakayoichagua hapo na service charge yako itakuwa hiyo hiyo kwa mwezi, mfano ukinunua one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.