Recent content by Denis Albert

  1. D

    Ufundi wa injini ya gari

    Jamani naomba kuuliza hapa. Hivi nini kinasababisha Gari kukausha Oil kwenye injini na wakati Injini haina demeji yoyote kusema labda inavujisha sehemu? Naomba kama kuna mwenye jibu anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom