Recent content by DENIS 72

  1. D

    Jkt postponement

    sijaona hiyo kitu nimeingia now
  2. D

    Mmmh..? SELIKALI YETU BWANA [tcu na jkt]

    amna kitu cha namna hiyo coz ajira hizo zitakosekana serikalini tu na sio private sector ,mfano mzuri ni mzee wangu alisoma kipindi kile jkt iko serious but hakwenda na anafanya kazi katika shirika la serikali .Tanzania yetu ya leo ya rushwa mtu aende kuomba ajira aombwe certificate ya jkt hayo...
  3. D

    Bodi ya mikopo - elimu ya juu

    we unaesema lazima upate mkopo angalia aibu isije ikakudondokea
  4. D

    Kwa wale wanaongoja boom

    hizi taharifa mnazipata wap coz amna sehem yoyote ambayo wametangaza au kuweza hiyo taharifa .sasa muungwana we ni mfanyakazi wa bodi ama ?
  5. D

    Jkt

    wanarudi tarehe 22 .asante
  6. D

    HATIMAYE HESLB YATEMA MAJINA KWA 1YR WALIOKOSA MKOPO....udsm wapo 154 waliopata..

    member tusaidiane haya majina anayoyaongelea mi sijayaona .yanapatikana wapi?
  7. D

    Msaada tafadhali wanajf.

    fanya mchakato wa kuongea na TCU kwani uliapply kipi kati ya hivyo?
  8. D

    Wale wa IFM tufahamiane hapa jamani!!

    we aunt yanakuhusu nn wakifahamiana unawashwa nn
  9. D

    Tumaini dar.

    www.TUDARco.ac.tz me nimewapigia wakasema wenyewe awataweka mtandaoni mpaka TCU waweke so ukitaka kuangalia unaenda chuo kwenye ubao wa matangazo wameweka hapo
  10. D

    Mzigo wa TUDARCo bado..?

    kiongozi naomba unichekie ANGEL MAKOYE mtandaoni siyaoni
  11. D

    Wale wa IFM tufahamiane hapa jamani!!

    ndo mimi denis banking and finance
  12. D

    Tumaini ya dar vip .msaada

    basi ntavuta subira young k
  13. D

    Tumaini ya dar vip .msaada

    Members tumaini dar mmeona post au bado?
  14. D

    haya sasa wale wa tcu!!!

    na mwingine kathibitisha iko right which is which
Back
Top Bottom