amna kitu cha namna hiyo coz ajira hizo zitakosekana serikalini tu na sio private sector ,mfano mzuri ni mzee wangu alisoma kipindi kile jkt iko serious but hakwenda na anafanya kazi katika shirika la serikali .Tanzania yetu ya leo ya rushwa mtu aende kuomba ajira aombwe certificate ya jkt hayo...
www.TUDARco.ac.tz me nimewapigia wakasema wenyewe awataweka mtandaoni mpaka TCU waweke so ukitaka kuangalia unaenda chuo kwenye ubao wa matangazo wameweka hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.