Ni sawa, lakini nimeona kwenye betting kila mtu ana principles zake. Kuna watu wanatoa roho na mwili[emoji16],lazima uumie. Ukiichukulia betting simple tu kuwa vyovyote vile nafsi imeridhia Wala husumbuki
Nakubaliana na wewe hii mechi iachwe, sikubaliani na wewe kuwa Arsenal ana presha. Kwa vigezo ulivyovisema kuhusu Chelsea, ni wazi wana presha kubwa sana. Wanakuja kucheza na kikosi kinachopata matokeo Stamford Bridge tena makubwa tu. Arsenal wako kwny utulivu maana wachezaji wa muhimu wamerudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.