Recent content by denestumain

  1. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mara paap! Ujinga ujinga unatiki[emoji16]. Barikiwa man hii inatiki. Amen
  2. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na hakuna mtu aliyefanikiwa bila kuwa insane. Endelea kuwa mstaarabu
  3. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bofya kwenye zero iliyo kwenye red color utaona sehemu ya kuweka
  4. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pole. Usiwe serious sana na betting
  5. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni sawa, lakini nimeona kwenye betting kila mtu ana principles zake. Kuna watu wanatoa roho na mwili[emoji16],lazima uumie. Ukiichukulia betting simple tu kuwa vyovyote vile nafsi imeridhia Wala husumbuki
  6. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mambo vipi. Naweza kupata huu uchambuzi leo? Nitashukuru sana [emoji120]
  7. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nakubaliana na wewe hii mechi iachwe, sikubaliani na wewe kuwa Arsenal ana presha. Kwa vigezo ulivyovisema kuhusu Chelsea, ni wazi wana presha kubwa sana. Wanakuja kucheza na kikosi kinachopata matokeo Stamford Bridge tena makubwa tu. Arsenal wako kwny utulivu maana wachezaji wa muhimu wamerudi...
Back
Top Bottom