NA KWELI LAKINI BIBI YANGU ALIKUWA AKISEMA KILA KITU KINA MWISHO NA HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA, SASA HATA ******** NA DAUDI BASHITE WANAMWISHO WAO USICHEZE NA MANUNGUNIKO YA WATU NI LANA KALI SANA.
January na Mwakyembe hawatakaa wawe maraisi wa TZ wameonyesha ni wadhaifu katika kusimamia ukweli. Yaani waziri mwenzenu anatishiwa bastola nyie mme kausha tu kama dagaa wa Kigoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.