Yaani ndio maisha yetu Tanzania, issue zinakuja kama wingu la mvua.....alafu inapita kama kulikuwa na jua tu linawala! tunasahau tunaanza na mambo mapya! hata serikali yetu inatufahamu nayo inaendesha issue kufuatia upepo unavyovuma na wananchi wetu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.