Kuna shule moja inaitwa Olduvai sec IPO Moshi Kilimanjaro. Majengo yake yako imara na Ina vyumba vya kutosha vya madarasa, maabara, dinning hall, mabweni, kiwanja Cha mpira, maji all the year, fensi na umeme wa 3 phase.
Shule Ilisimama 2017 kutokana na ukosefu wa wanafunzi na uchumi. Hivyo...