Nyosha upanga uonekane unavaanguo unaogopa kukunja mi kunjo 😆😆😆 suluali una valia ukitokea kwenye deka juu...
-Mwendo wake ni kama Zombi au robot tembea bila kuharibu upangaa
-Chini ukitazaa buti ina ngaa
-Mkanda /belt ulivyo funga viendane na kikojoleo na vifungo vya shati 😆😆😆 Ole wako...
Nakubali Mkuu😆😆 maisha yana tuforce hakuna namna unakuta we ndio tegemezi ktka familia hakika uwezi kuwa na chaguz chamsingi mkono uzame mfukon...
Mungu mwema atafanya tu....
wataalamu wa mambo wana kwambia kuna aina 4 ya watu wanao ingia Jeshini(chomboni) aijalish iwe (Home affair, ofisi ya Rais au wizara ya ulinzi na usalama kwetu hapa Tz.)
01. Mtu wa kwanza niyule anae ingia jeshini kwa sababu Tu nyumbani kwao ni wanajeshi au askarii. Family background yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.