Recent content by Deejayptz

  1. Deejayptz

    MASHINE YA KUNYOLEA NYWELE OG

    Iko vizuri sana na inanyoa vizuri bila hata kupiga kelele Original kabisa kwa wanauzijua watakubali Imetumika muda mchache Bado mpya kabisa Call & whatsppp 0764 876888 Bei ya kutupa BEI 55,000/= Location : Magomeni & Tabata Mwananchi
  2. Deejayptz

    MASHINE YA KUNYOLEA

    nafaham unachokiongea lkn cohizi kama una kinyozi wako unaemuamini aje akuchekie
  3. Deejayptz

    MASHINE YA KUNYOLEA

    Ni original Kabisa na inanyoa vizuri sana,inafaa kwa matumizi ya salon na hata nyumban imetumika muda mchache sana na haina tatizo lolote Bei ya kutupa 50,000/= inauzwa kwasababu haitumiki bado mpya call & whatsapp 0764 876 888
  4. Deejayptz

    ACER PC All in one Touch screen

    BEI 450,000/= Call & Whatsapp 0764876888 Magomen DSM
  5. Deejayptz

    MASHINE YA SALON

    ORIGINAL imetumika miezi 3 bado mpya kabisa inanyoa vizuri sana bila tatizo,inafaa kwa matumizi ya nyumban na salon inauzwa kwasababu haitumiki Call/whatsapp 0764 876888 Dsm Bei 55
  6. Deejayptz

    INAUZWA FRIJI NDOGO

    zinagoma kuupload nicheck whatsapp
  7. Deejayptz

    INAUZWA FRIJI NDOGO

    Nzuri sana hazina tatizo lolote muonekano mzuri na zinagandisha pia bei ya offer 130,000/= kwa kila moja zipo mbili ZEC & INVETOR call & whatsapp 0764 876 888 wahi faster
  8. Deejayptz

    INAUZWA ZEC - FRIJI NDOGO

    ZEC Nzuri sana haina tatizo lolote muonekano mzuri na inagandisha pia bei ya offer 130,000/= call & whatsapp 0764 876 888 location sinza kwa Remmy
  9. Deejayptz

    Natafuta kazi ya Night DJ wa club

    Kumix nyimbo za video (video mixing)
  10. Deejayptz

    Natafuta kazi ya Night DJ wa club

    Hakuna mwenye Shida na connection zenye dharau ja matusi Rizki anapanga MUNGU pekee sio binaadam pia sipo tayari kwa dharau hizo hata kwa connection zako
  11. Deejayptz

    Natafuta kazi ya Night DJ wa club

    Shukran kwa dharau zako si nimeandika CV za softwers nazo2mia hapo au umejickia 2 kuja kucomment ufala kwenye post yangu pengine huna hata unachokijua umeambiwa mm dj softwear acha ufala
  12. Deejayptz

    Natafuta kazi ya Night DJ wa club

    Ni muajiriwa wa tv/radio station kampuni flani,napenda sana mziki nataka baada ya majukumu mengine nifanye kitu kingine nachokipenda ambocho naamini kipo kwenye damu yangu muda wote mpaka home nina home studio kwa ajili yangu ya kufanya mazoezi ya video mixing.natafuta kazi ya Night club kua Dj...
  13. Deejayptz

    DJ NIGHT CLUB

    nimekuelewa kisome pia nilichokiandika ukielewe zaid.unaweza kua hata muajiriwa wa serikali labda WAZIRI WA KITU FLAN lakini mbali na ubunge unapenda KARATE pia inabd upate muda wa kufanya KARATE
  14. Deejayptz

    DJ NIGHT CLUB

    Ni muajiriwa wa tv/radio station kampuni flani,napenda sana mziki nataka baada ya majukumu mengine nifanye kitu kingine nachokipenda ambocho naamini kipo kwenye damu yangu muda wote mpaka home nina home studio kwa ajili yangu ya kufanya mazoezi ya video mixing.natafuta kazi ya Night club kua Dj...
Back
Top Bottom