Hongera sana mkuu makosa yako nimadogo madogo sana,mm sio mpenzi wa matreni kulingana namuda wakuyafanyia kazi kwakila team mmoja.
Ila nikipata muda mzuri ntakutafuta ili nikuongezee sapot matren tuyapitishe kwenye tundu la sindano.
Muhindi anaanza kuamin amekushinda hata kabla yamechi kuchezwa...kuithamin pesa ndio njia pekee yakushinda kamari.
Cheza jero ukitafuta buku.nakumi ukitafuta20 hapo ww namuhindi mtakua mnapiga hela zawatu kila maisha.
Dunian hakuna kitu bahati nasibu mkuu nakwahili limepelekea wa Afrika kua nyuma sana kimaendeleo.ukielewa kwann kila unapo ongeza team kua nyingi zaidi ndivo mchezesha kamari anavyokujazia hela nyingi zaidi basi usingali ongea hivo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.