Kiukweli hili jambo ni gumu sana, pia ni rahisi kulielezea kwa mdomo, kiufupi ni muda vijana tujifunze kuendena na mazingira na kukubari ukweli kuwa ajira ni mtiti kwani hii itapunguza expectations ambazo mara nyingi ndio zinatesa.
Tuache kujifariji uongo sijui kilamtu na bahati yake, sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.