Recent content by ddev

  1. D

    Dollar yaanza kushuka kwa kasi

    Sasa dola inashuka well lakini ktk exportation bado inaleta shida maana inashuka kila sehemu hivyo ukiuza bidhaa zako nje inabidi utumie hiyo hiyo tz sh. ambapo bei inakua bado ipo chini kwa kifupi inakua hailipi
  2. D

    Dollar yaanza kushuka kwa kasi

    Kwa kweli hali ya biashara imekuwa ngumu sana hasa sisi tunaotegemea kuuza bidhaa nje miez michache kabla serikali haijavamia biashara ya mahindi kwa kujifanya mnunuzi mkuu ili iwauzie zambia tulikuwa tunapeleka mahindi zambia wenyewe na ilitulipa sana maana kwacha ya zambia ilikua juu...
Back
Top Bottom