Recent content by dawizzie

  1. dawizzie

    Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

    Naomba unielekeze namna ya kupata hiyo castor oil na matumizi yake
  2. dawizzie

    Udom Reporting day

    Bado kwa level ya stashahada na astashahada hivyo endelea kupitia profile yako kila upatapo nafasi name ni mwenzako pia
  3. dawizzie

    Usaili vyuo vya afya

    Za kuamka waungwana, naomba kuuliza juu ya application kwenye vyuo vya afya. Nina mdogo wangu kaapply st. Francis certificate ya pharmacy lakini mpaka Sasa hawajatoa majibu na ukiwapigia hawatoi majibu ya kueleweka wanadai serikali imewaambia wasitishe udahili ambapo muda wa kusoma unakaribia so...
Back
Top Bottom