Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) imeendelea na zoezi la ufungaji wa Pampu mpya katika mtambo wa Uzalishaji maji Ruvu Juu, zenye lengo la kuimarisha uzalishaji na usambazaji wa maji katika Mkoa wa Dar Es Salaam na Pwani.
Akizungumza wakati akikagua endelevu za...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba John Kabudi, ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha huduma za usafi wa mazingira, hususan sekta ya majitaka.
Prof...
Ujenzi wa mtambo wa kisasa wa kuchakata majitaka unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika eneo la Mitamba, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, umefikia asilimia 52 ya utekelezaji.
Mradi huo wa kimkakati unatekelezwa kwa gharama ya Shilingi bilioni...
Takribani wakazi 17,200 wa maeneo ya Nzasa, Somelo na Zingiziwa katika Wilaya ya Ilala wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada ya Mradi wa Maji wa Nzasa–Somelo kufikia asilimia 95 ya utekelezaji.
Mradi huo unahusisha uchimbaji wa kisima kipya cha maji katika eneo la Ofisi...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea na utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa uondoshaji majitaka wa Buguruni, ambao umefikia asilimia 30 ya utekelezaji na unalenga kuboresha huduma za majitaka pamoja na usafi wa mazingira kwa wakazi wa maeneo mbalimbali ya...
Moja ya mikakati ya kuhakikisha huduma ya majisafi inaendelea kuwa bora na uhakika kwa wananchi, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kimkakati mikubwa na midogo katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam na Pwani...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imetekeleza zoezi la ufungaji wa pampu mpya katika kituo cha kusukuma maji (Booster pump) kilichopo Segerea kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa Maji kwa baadhi ya mitaa ya kata ya Kisukuru inayopokea Maji kutoka Kituo hiko...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekamilisha maboresho ya uhuishaji wa kisima cha maji cha Kwala kilichopo kijiji cha Minazi mikinda, kwa lengo la kuwezesha uzalishaji wa maji ili kutoa huduma ya majisafi katika bandari kavu ya Kwala, iliyopo Kata ya Kwala...
Viongozi wa Serikali katika Kata ya Saranga kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imefanya ziara ya kimkakati ya kukagua hali ya huduma ya maji na kukubaliana kuweka mikakati ya kuboresha huduma katika kata hiyo.
Ziara hiyo imelenga kujionea...
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhandisi Romanus Mwang’ingo, imekagua zoezi la ufungaji wa pampu mpya za kusukuma maji ghafi katika Mtambo wa Kuzalisha Maji wa Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na...
Ujenzi wa mtambo wa kisasa wa kuchakata majitaka katika eneo la Mitamba, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, umefikia asilimia 50 ya utekelezaji wake huku lengo likiwa ni kuimarisha usafi wa mazingira kwa wananchi.
Mradi huo unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea na utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa uondoshaji majitaka wa Buguruni unaolenga kuboresha hali ya usafi wa mazingira kwa wakazi wa Kata ya Buguruni, mtaa wa mivinjeni.
Mamlaka ilisanifu mradi huu kwa lengo la...
Wakazi wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wameishukuru Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (Booster Pump), ambao umeondoa changamoto ya...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewakumbusha watumishi kuzingatia kanuni na miongozo ya afya na usalama mahala pa kazi ili kupunguza ajali na madhara yanayoweza kujitokeza kazini yatakayoathiri utendaji kazi.
Hayo yamebainishwa wakati wa mafunzo elekezi ya...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza ujenzi wa tanki la kuhifadhi maji lenye uwezo wa kuhifadhi lita 500,000 katika eneo la Msumi, Wilaya ya Ubungo, kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wakazi takribani 22,370.
Mradi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.