Recent content by DAWASA

  1. D

    JamiiForums Tanzania Bwawa la Kidunda kukamilika Desemba 2026

    Msemaji Mkuu wa Serikali, ambae pia ni Katibu Mkuu, Wizara ya Habari Sanaa Utamaduni na Michezo ndugu Gerson Msigwa katika Taarifa yake ya Msemaji Mkuu wa Serikali ameeleza kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Bwawa la Kidunda Mkoani Morogoro ambao umefikia asilimia 50 ya utekelezaji kutaenda kuondoa...
  2. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA yatoa elimu ya uhifadhi wa maji katika wiki ya mazingira

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni miongoni mwa taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, yakiwa na kauli mbiu isemayo: “Dira 2050: Tuwajibike Kukijanisha Tanzania.”...
  3. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA kutumia viwanda vya ndani kuchochea kasi utekelezaji miradi

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema itaendelea kuunga mkono matumizi ya bidhaa zinazozalishwa na wazalishaji wa ndani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukuza uchumi wa taifa sambamba na kuimarisha upatikanaji wa vifaa vinavyosaidia utoaji wa huduma ya majisafi...
  4. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA sasa rasmi Msumi, wakazi 300 kuunganishiwa huduma

    Wakazi wa eneo la Msumi, Kata ya Mbezi wilayani Ubungo, wameanza kupata huduma ya majisafi kufuatia kukamilika kwa Mradi wa Maji wa Msumi uliotekelezwa na DAWASA kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 1.2. ‎ ‎Kupitia mradi huo, wakazi wameanza kukabidhiwa vifaa vya maunganisho mapya sambamba...
  5. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA yaanza kufunga pampu zitakazoimarisha huduma ya maji

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imeanza rasmi zoezi la kufunga Pampu 3 kati ya Pampu 7 zilizowasili mapema Mwezi Mei Mwaka huu zinazotarajia kuimarisha na kupunguza changamoto za kihuduma katika Mikoa ya Dar es salaam na Pwani. Pampu hizo zitakazofungwa katika...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa maji, kilimo na nishati

    ‎Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndugu Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati Nchini inayotarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya maji, kilimo, nishati na uhifadhi...
  7. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA yazidi kutekeleza agizo la kuboresha huduma kupitia visima Kisukuru

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekamilisha zoezi la upimaji wa wingi wa maji katika kisima kipya cha Kisukuru eneo la Viwanja vya Benki ambapo kimethibitika kuwa na uwezo wa kuzalisha takribani Lita 144,000 kwa siku. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Msimamizi wa mradi...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Mhandisi Kundo: Sekta binafsi itumike kuimarisha huduma ya maji

    Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Mathew Kundo amesisitiza juu ya umuhimu wa Wizara ya Maji kushirikiana na Sekta binafsi nchini kwa lengo la kuongeza ufanisi katika kufanikisha malengo ya Serikali ya utoaji wa huduma ya majisafi kwa wananchi wote kwa asilimia 100 ifikapo mwaka 2030. Hayo ameyasema...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ujenzi kituo cha kusukuma maji Golani wafikia asilimia 80, waongeza kicheko Golani, Saranga na Ukombozi

    Wakazi wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo wafurahishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (booster pump) katika eneo hilo uliofika asilimia 80 za ukamilishwaji wake na unaotajwa kwenda kihudumia wakazi takriban 5,000 wa eneo la Golani, Ukombozi...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Katibu mkuu maji aitaka Dawasa kufunga mkanda mapambano upotevu wa maji

    Baraza kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) limekutana kujadili na kuweka mwelekeo wa vipaumbele vya Mamlaka kuelekea mwaka wa fedha 2026/2027, likilenga kuimarisha utoaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi. Akizungumza katik kikao...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Korea Kusini yaonesha nia ya kutaka kuwekeza kwenye Sekta ya maji Dar na Pwani

    Ujumbe kutoka Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini imetembelea miradi ya maji ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kujionea jinsi gani Serikali ya Korea inavyoweza kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) kutoa huduma ya...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bilioni 1.82 watembelewa na Mwenge Ubungo, DAWASA yapewa kongole

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetakiwa kuhakikisha inakamilisha miradi ya maji kwa wakati ili wananchi waweze kunufaika na huduma hiyo muhimu bila ucheleweshaji. Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, ndugu Wazo Mwang’onda, wakati...
  13. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA yaimarisha huduma Makangarawe wilayani Temeke kupitia nishati ya jua

    Wakazi wa Mtaa wa Makangarawe, Kata ya Makangarawe, Wilaya ya Temeke, wanatarajia kunufaika na huduma ya majisafi na salama kwa saa 24 kufuatia utekelezaji wa mradi wa kisima cha maji unaosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Mradi huo wenye thamani ya...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Mwenge wa uhuru wapongeza DAWASA uboreshaji huduma za maji Kigamboni

    Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, ndugu Michael Mwang'onda, ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa utekelezaji mzuri wa mradi wa usambazaji maji katika Wilaya ya Kigamboni ulionufaisha Wakazi takribani 25,000 katika kata nne za Kibada...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Kisima kubadilisha maisha ya wakazi 2,640 Mtaa wa Ilala Kota

    KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Ndugu Wazo Michael Mwang’onda, ametembelea na kuweka jiwe la msingi mradi wa kisima cha maji kilichopo Ilala Kota Jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo imekuja baada ya kukagua na kuridhishwa na ubora wa utekelezaji wa mradi huo. Mradi huo unalenga...
Back
Top Bottom