Habari zenu wapendwa,
Namshukuru Mungu ananipigania.
Niwape fidback ya ndoa yangu .
Mume wangu alirudi ile ile tare 24 hakuwa na pasport wala document yyte inayoonesha siku alipowasili tanzania alizificha na mpaka leo pasport yake sijawah iona.
Kikubwa nashukuru kwa ushauri wenu kwani...
Hapa nimepata nguvu kwa ushauri wenu,nipo kazini kwangu natafuta pesa kwa nguvu zote,time will tell,Mungu awabariki kwa ushauri mzuri nilichochukua nimechukua,nitawapa feed back
Watoto wake wengine aliozaa huko kabla hajanioa mimi nilimshauri awachukue naishi nao wawili,,nawaonea huruma pia coz nao wamenizoea,na wananitegemea kama mama yao!
Hana pa kwenda, anatumia tu vicent alivyokuja navyo vikiisha atarudi hapa ndio nyumbani kwake ndivyo naamini na pia asiporudi kabisa maisha yatakuwa na maana zaidi kwangu
Mwenyeji wake ambaye ndiye alikuwa wanaishi pamoja ndiye kanipigia akataka aongee na jamaa nikamwambia hajafika dar kashangaa coz kungekuwa na tatizo wangejulishwa au wangesikia pia mimi ningejulishwa coz ktk visa huwa kuna namba za watu muhimu kama tatizo likitokea wanajulishwa ,habari ya yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.