Mimi natamani sana kitabu cha ROSE MISTIKA,HEKAYA ZA ABUNWASI,MASHIMO YA MFALUME SULEIMANI,VITUKO VYA BULICHEKA.
Sijui mdau gani anaweza kunitonya wapi nitapata nakala ya riwaya/vitabu hivyo.
Vitabu hivyo tulikuwa twavisoma kwa mwanga wa vibatali,chai ya pipi,viatu vya maana vilikuwa ni...