Recent content by david ngido

  1. D

    Tuwakumbuke waandishi wetu wa Riwaya

    Mimi natamani sana kitabu cha ROSE MISTIKA,HEKAYA ZA ABUNWASI,MASHIMO YA MFALUME SULEIMANI,VITUKO VYA BULICHEKA. Sijui mdau gani anaweza kunitonya wapi nitapata nakala ya riwaya/vitabu hivyo. Vitabu hivyo tulikuwa twavisoma kwa mwanga wa vibatali,chai ya pipi,viatu vya maana vilikuwa ni...
Back
Top Bottom