Nashukuru sana ndugu yang kwa ushauri wako we unapatikana wapi na pia kwa sasa siwezi Pata njia mbadala la ya kuuza labda hata makampuni mbali mbali nchini ina maaan soko la muhogo mkavu kwa sasa hamna kabisa aisee naona ulobaki shamban nisifikilie kuukausha kabisa
Habar ndugu Zangu natumaini mnaendelea vizur na poleni na majukumu ya siku nzima ningependa kujua soko la muhogo mkavu ninazo kama Tani 15 na bei yake kwa kilo tafadhari asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.