Alafu kwa wale ambao walikuwa wakifatilia hii trend tokea mwaka jana watakumbuka ya kwamba nilisema kitu ambacho adi asaivi sina cha kuongeza wala kupunguza( "Amini kwamba watu wameshakaa chini wakabuni mazingira yao ya kuupiga mwingi kwenye chaguzi zijazo tena mm ninaona. Kabisaa watu...
Amini kwamba watu wameshakaa chini wakabuni mazingira yao ya kuupiga mwingi kwenye chaguzi zijazo tena mm ninaona. Kabisaa watu watakaoitwa kwenye iyo ajira watakuwa ni wengi saana tu kutoka uraiani tena bila kupiganisha Wala nn so apo kinachoitajika ni stamala tu na kunywa Maji mengi ili...
Ñdio hapo hata mm sielewi man mda mwinginé unaweza ukakuta símu hazipatikani kwasababu ya mtandao au zimezima chaji Sasa wakitumia mfumo wa kupigia watu simu hawaoni kabisaa ya kwamba itakuwa ni ugaigai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.