Recent content by daviasoda

  1. D

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Tatzo sio kubaki kuhakik tatzo system ilkuwa ina shida kwa muda ambao nimekaa internet cafe niliomba msaada kwa muhudumu wa cafe system ikikaa vizur basi anisaidie kuendelea na stage zinazofata!naenda internet cafe tangu juzi.
  2. D

    Wanaomba ajira TAMISEMI kwa mfumo wa ''OTEAS'' tukutane hapa

    mm nlkosea kuweka taarifa kwa bahati mbaya mtu ambaye alikuwa aliyekuwa anansaidia internet cafe alkosea kuappload vyeti vyangu akappload vya mtu mwingine nafanyaje
  3. D

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Naombeni msaada wadau, Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Back
Top Bottom